Kisa Manyama, Simba Waifuata Azam
TAARIFA za chini ya kapeti zinaeleza kuwa, Uongozi wa Klabu ya Simba umeufuata uongozi wa kikosi cha klabu ya Azam kwa ajili ya kuomba kuachiwa nafasi ya kumsajili aliyekuwa beki wa Ruvu Shooting, Edward Charles Manyama.
…
