Mahakama Yashindwa Tena Kutoa Hukumu ya Maxence Melo
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa mara ya nne imeshindwa kutoa Hukumu juu ya kesi namba 456 inayomkabili Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Mtandao wa Jamii Forum Maxence Melo baada ya Hakimu anayeendesha shauri hilo kutokuwepo.…
