Siku 10 za Maumivu, Ratiba Nzima ya Mgao wa Umeme Hii Hapa
WAKATI ratiba ya mgao wa umeme katika baadhi ya maeneo nchini wa siku kumi ikiwa haijatoka, wananchi, wakiwamo wafanyabiashara wadogo na sekta binafsi wanahofu shughuli zao kwenda mrama.
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)…
