Mkuu wa Wilaya Aagiza Kukamatwa Mwandishi wa Habari wa ITV
Mwandishi wa habari wa Kituo cha ITV mkoani Arusha, Khalfan Lihundi, anashikiliwa na polisi katika Kituo cha Polisi Usa River, wilayani Arumeru kwa tuhuma za kuandika habari zinazodaiwa kuwa ni za uchochezi.
Lihundi alikamatwa jana…
