Mourinho ashtakiwa na FA kwa kumuingilia refa
KOCHA Mkuu wa Manchester United, Jose Mourinho ameshtakiwa na Shirikisho la Soka Nchini Uingereza, FA kwa kudai kwamba itakuwa vigumu kwa refa Anthony Taylor kusimamia mechi yao dhidi ya Liverpool.Mourinho aliongezea kwamba, kumteua Taylor…
