Mpanda: Mtoto wa Miaka 10 Auawa Akiwa Machungoni
MTOTO wa Miaka 10 kutoka Kijiji cha Kakese Kata ya Kakese Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ameuawa na watu ambao hawajatajwa majina wakati akiwa kuchunga Ng'ombe.
Akiwa katika mkutano wa hadhara katika Kijiji…
