NAVY KENZO; KUTOKA BANDA LA UANI HADI GHOROFA LA MIL. 400
KWA wafuatiliaji wa burudani ni wazi watakuwa wanalikumbuka Kundi la Pah One lililokuwa likiundwa na vichwa hatari kama vile Igwe, Ola, Aika Mariale pamoja na Nahreel.
Ngoma ya Amatita ndiyo iliyowatoa na kubamba kila…
