Hassan William Mbeya: ‘Nilikuwa Msukule kwa Miaka 12’
DAR ES SALAAM: Kazi ipo! Hassan William (28) ni kijana, mwenyeji wa Kijiji cha Uturo, Mbeya ameibuka na kudai kuwa, alichukuliwa msukule kwa miaka 12 na kupotezana na wazazi wake, Judith Wambura na William Mgaya.
USHUHUDA WAKE NI HUU…
