Nedy Music Atua BONGO na TUZO ya AFRIMA – Video
Msanii wa Bongo Fleva Nedy ambaye yupo chini ya Lebo ya Muziki Pozi Kwa Pozi amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julisu Nyerere jijini Dar es Ssalaam leo akitokea Ghana baada ya kutwaa TUZO ya AFRIMA 2018 ya msanii bora…
