The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ntibanzokiza

Saido Afungukia Hatma Yake Yanga

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ amewaondoa hofu Wanayanga kwa kuwaambia kuwa aendi popote na ataendelea na timu hiyo katika msimu mwingine mmoja. Kauli hiyo imewafurahisha mashabiki wa timu…

Saido Nje Mwezi Mzima Yanga

NYOTA mpya kunako kikosi cha Yanga, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ raia wa Burundi, imebainika kwamba atakaa nje ya dimba kwa takribani mwezi mmoja akiuguza majeraha aliyoyapata katika michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika Januari…