Watu Wanne Wakamatwa kwa Kula Nyama za Watu
Polisi katika jimbo la Zamfaraaskazini-magharibi mwa Nigeria wamewakamata watu wanne wanaodaiwa kuhusika na ulaji nyama za watu na kuuza sehemu za binadamu, jambo ambalo ni nadra sana katika eneo hilo.
Kamishna wa polisi…
