Masharti Mapya Mnada wa Nyumba za Lugumi Kesho
ILI kuhakikisha mnada wa nyumba mbili za Lugumi huko JKT Mbweni na Upanga jijini Dar es Salaam unakwenda vizuri, watu watakaofika na kushiriki mnada huo kesho, watabidi kutimiza masharti kadhaa.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi…
