Obama: ‘Ninamuunga Mkono’ Donald Trump, Nitashirikiana Naye
MAREKANI: Rais mteule wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa ni ''heshima'' kubwa kukutana na rais Barrack Obama katika mazungumzo ya mpito yaliofanyika katika ikulu ya White House.Rais Obama amesema kuwa ametiwa moyo kuhusu mazungumzo yao…
