Pasta Yamkuta, Afumaniwa Akichepuka na Mke wa Mtu
Pasta wa Kanisa la African Divine eneo la Lugari, Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambaye alifumaniwa akifanya ngono na mke wa muumini wake amepigwa ya Ksh 2,000 sawa na shilingi 42,000 ya Tanzania.
Mhubiri huyo…
