Vanessa Mdee, Rotimi na Kisa cha P Funk na Kajala
V MONEY, mtoto wa Arusha ni moja ya wasanii wanaopiga sana michongo ya nje na waliotengeneza bonge la connection katika muziki wake, ni rasmi sasa kaachana na Jux.
Jux na Vanessa walikuwa na mapenzi fulani ya kideoni. Jux…
