Q Chief Aanika Waliombadili Kwenye Muziki
MSANII wa Bongo Fleva, Q Chief, ameeleza kuhusu safari ya maisha yake kwenye muziki wakati alipokutana na msanii Jose Chameleone nchini Uganda ambapo alimpokea na kumuonyesha baadhi ya vitu walivyokuwa pamoja.
Q Chief…
