Magufuli Apiga Marufuku Viongozi wa CCM Kuitwa Waheshimiwa
Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ameelekeza kuwa ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa chama hicho tawala nchini Tanzania kuitwa mheshimiwa, badala yake waitwe ndugu au komredi.
Hayo…
