Rais Magufuli Amchimba Mkwara Mbunge wa CUF
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amempiga biti Mbunge na viongozi wa upinzani mkoani Tanga kutojisifia kuwa wao wameleta mradi wa Bomba la Mafuta katika eneo la Chongoleani Tanga.…
