Ruvu Nao Wataka kujipigia KMC
TIMU ya Ruvu Shooting ya Pwani imetamba kuishushia kipigo kikali wapinzani wao KMC watakayokutana nayo kesho Jumanne katika mechi ya Ligi Kuu Bara katika Uwanja wa Uhuru, Dar es salaam.
Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau…
