TID Mnyama Kuachia Kombora la Albam
LEGENDARI wa muziki wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’ ametangaza kuachia albam yake mpya na ya sita amabyo ameipa jina la #NiYeyeAlbum ambayo itatoka siku za hivi karibuni.
Akizungumza na moja ya media hapa Bongo, Mnyama…
