Waziri Mkuu Ashiriki Iftari Na Benki Ya Nmb Pamoja Na Watoto Wanaoishi Kwenye Mazingira Magumu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Machi 05, 2025 ameshiriki hafla ya Iftari na Benki ya NMB pamoja na watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu, kwenye ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam.