Staa wa Nigeria, Wizkid.
Staa wa Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogun ‘Wizkid’ amethibitishwa na Clouds Media Group kupitia akaunti yao ya twitter kuwa atatumbuiza kwenye show ya Fiesta, Mwanza mwishoni mwa wiki hii. Itakuwa mara ya pili muimbaji huyo kuja Tanzania mwaka jana alitumbuiza kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Deal done ndani ya Mwanza it’s Already Confirmed your boy @wizkidayo ndani ya #Fiesta2016 Mwanza @BDozen pic.twitter.com/7KkFggKKIo
— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) August 16, 2016