The House of Favourite Newspapers

Yanga wanaandika historia ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika

0

Wananchi wanaandika historia ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya kwanza kufuatia ushindi wa 4-0 dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria kwenye hatua ya makundi.

FT: Young Africans 🇹🇿 4-0 🇩🇿 CR Belouizdad
⚽️ Mudathir Yahya 43’
⚽️ Aziz Ki 46’
⚽️ Kennedy Musonda 48’
⚽ Joseph Guede 84’

MSIMAMO KUNDI D
1. 🇪🇬 Al Ahly ——— 9
2. 🇹🇿 Yanga Sc ——— 8
3. 🇩🇿 CR Belouizdad ———5
4. 🇬🇭 Medeama ———4

Yanga SC imefuzu moja kwa moja kwa kuwa mbabe wa ‘head to head’ kati yake na CR Belouizdad, kwa maana hata kama Belouizdad atashinda mechi ya mwisho hawezi kufuzu.

Itakumbukwa mechi ya kwanza Yanga ilipoteza 3-0 kabla ya kushinda 4-0 kwenye mchezo wa marudiano.

Leave A Reply