Malaika: Mi’ mbichi jamani, sina mtoto!
Mwanamuziki Malaika.
Boniphace Ngumije
Mwanamuziki Malaika juzikati alitolewa kwenye Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015 kufuatia madai kuwa ana mtoto na amekuwa akificha kuhusu hilo.
Alipobanwa kwa nini anadanganya hana mtoto wakati ni heshima kwa mwanamke alisema: “Jamani nidanganye sina mtoto ili iweje, kama yupo aliyenizalisha ajitokeze, mimi bado mbichiii.”
basi kama hakuna aliyejitokeza gpl mrudisheni kwenye shindano