
Koffi Olomide akiongea na wanahabari baada ya kutua jioni ya jana Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
https://www.youtube.com/watch?v=9fYV6ul5Mrc
Koffi Olomide amaeshatua jijini Dar tangu jana usiku kilichobaki ni burudani siku ya kesho Escape One jijini Dar. Kama bado hujapata tiketi yako sogea maeneo yafutayo kujichukulia tiketi yako kwa Tsh 50, 000 tu;
MLIMANI CITY – SHEAR ILLUSION
SHAMOOL HOTEL (Sinza)
OFISI ZA CLOUDS MEDIA GROUP MIKOCHENI
BREAK POINT (KINONDONI)
ROBBY ONE
BORN TO SHINE