×

Davido kufanya kolabo na Young Thug huu uthibitisho wake

davido-soul-train-awards

Staa wa Nigeria, Davido

young-thug-my-baby-1

Staa wa Hip Hop kutoka Marekani, Young Thug

STAA wa muziki kutoka Nigeria, Davido anaonekana kuendelea kuliteka soko la kimataifa baada ya kuthibitisha kutaka kufanya kolabo na staa wa Hip Hop kutoka Marekani, Young Thug.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter, Davido aliachia kipande cha video kikimuonesha akichat kwa video na msanii huyo.

Imeandaliwa na Andrew Carlos/GPL

Leave a Comment