
Kiongozi wa vijana wa chama cha ODM, Stephene Mukabana akiwa amebebwa na vijana.
Kiongozi wa vijana wa chama cha ODM, Stephene Mukabana ameuawa kwa risasi jana wakati akienda kumsaidia mtu aliyekuwa akiporwa na kundi la watu 6 kwa mujibu wa gazeti la Standard nchini humo.
Pia gazeti la Standard lilimnukuu gavana wa Nairobi Evans Kidero akisema kuwa kundi la wauaji lilimfuata na kumuua mwanasiasa huyo wa umri wa miaka 42.
CHANZO: BBC SWAHILI