×

RC Makonda Azindua Umoja wa Wauza Magazeti

index1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa Umoja wa Mawakala Wauza Magazeti katika Ukumbi wa Traventine jijini Dar, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo.index2

RC. Makonda akiendelea kuzungumza.

Saccos wauza magazeti (4)

Wanaumoja huo waliokuwa wakigombea nafasi mbalimbali za uongozi wa umoja huo.Saccos wauza magazeti (5)

Baadhi wa wajumbe waliohudhuria kwenye hafla hiyo.Saccos wauza magazeti (6)Wagombea wakiwa mbele. Saccos wauza magazeti (7)Wagombea wakionesha namba zao ili kujinadi wapigiwe kura.Saccos wauza magazeti (1)Kura zikihesabiwa.  

indexMajina ya washindi ni yale yaliyojazwa idadi ya kura kwa wino.

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paulo Makonda leo amezindua Saccos ya Umoja wa Mawakala Wauza Magazeti katika Ukumbi wa Traventine jijini Dar amabapo kwenye hafla hiyo pia Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers & Ent. Ltd, Eric Shigongo alihudhuria.

Mbali na kuzindua Saccos hiyo, pia kulifanyika uchaguzi wa kuupata uongozi wa um0ja umoja huo ambapo wajumbe 14 bwalichuana na kufanikiwa kupata watu 9 watakauongoza umoja huo. Waliochaguliwa ni Mwenyekiti, Abdurahman S. Kapaka na katibu wake ni Boniphace Rubisha.

PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779

1 Comment

Leave a Comment