

Amatus Liyumba enzi za uhai wake.
Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia leo, msiba upo nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar es Salaam.


Amatus Liyumba enzi za uhai wake.
Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia leo, msiba upo nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar es Salaam.