×

Barakah Da Prince ampeleka Kiba Sauz

bara.........Barakah Da Prince

Stori: Boniphace Ngumije

MKALI katika gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’ amefunguka kuwa kati ya wasanii anaowakubali Bongo, wa kwanza ni Ali Kiba ambaye pia kwa muda mrefu alikuwa akiwaza kufanya naye kazi.

.Ali-Kibaaaaaaaaaa-333Ali Kiba

Akichonga na Uwazi Showbiz, Barakah alisema anamkubali Kiba kwa sababu ni mtu anayeuelewa muziki vizuri na hivi karibuni amemtafuta na kufanya naye kolabo kwa Produza Imma Ze Boy ya Wimbo uitwao Nisamehe ambao video yake wameifanyia Afrika Kusini ‘Sauzi’.

“Ukweli ni kwamba Ali Kiba namkubali sana ni kati ya wasanii ambao mimi ni mshabiki wake, tumefanya kolabo ambayo tunategemea kuiachia soon, watu wategemee kitu kizuri sana kutoka kwangu,” alisema Barakah Da Prince.

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave a Comment