Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga.
Na Hamida Hassan
Wakati Waislam wakipiga vita kitu kinachoitwa Vunja Jungu, msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga ameandaa shoo hiyo huku akimtumia Mwanamuziki Snura Mushi.
Lungi aliitonya safu hii kuwa, anajua Waislam hawapendi sherehe hizo lakini yeye ameamua kufanya ili kuwatafutia watoto yatima pesa ya futari.
“Najua Waislam watanimaindi na kuna ambao wameshaanza kuniambia nawachokonoa Waislam lakini sina nia mbaya, lengo ni kuwasaidia watoto yatima na nitafanya hivyo mwisho wa mwezi ndani ya Ukumbi wa Travertine Magomeni Dar,” alisema Lungi.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz
