×

Mastaa Walivyofunika Usiku Wa Mastaa Maisha Basement

ks7_0301

Staa wa Bongo Fleva, Pam D (wa pili kutoka kulia) akiwa na Meneja wa masoko wa Maisha Basement, Geoffrey Jilla ‘Gilla The Boss’ (wa tatau kutoka kulia) na Meneja mipango wa Maisha Basement, Robert (kulia) wakijiachia katika red carpet ya usiku wa Mastaa iliyofanyika siku ya Jumapili.

ks7_0305

Gilla the Boss (kushoto) akijiachia na Pam D.

ks7_0357

Pam D akifanya mahojiano na Global TV Online.

ks7_0334

Pam D hapa akifanya mahojiano na EAT.

ks7_0347

Msanii wa kike  wa MJ Records aitwaye, Haitham (kulia) akiwa na Gilla the Boss.

ks7_0509 ks7_0573

Video queen asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stamford ‘Gigy Money’ akifanya yake mbele ya video queen wenzake.

ks7_0623

Kutoka kulia ni Video Queen, Anita, Lulu Diva (katikati) wakiwa na Pam D.

ks7_0640

Lulu Diva akipiga self

ks7_0744

ks7_0761

ks7_0825

Wakiendelea kufanya yao.

ks7_0850 ks7_0851

Msanii Wa Kike Wa Hip Hop na Bongo Flava Chemical akifanya yake.

ks7_0976

Msanii Galatone  akiimba wimbo wake wa Samaki.

ks7_1043

Burudani zikiendelea.

ks7_1109

Pam D akifanya yake stejini na wanadada machachali bongo Lulu Diva na Gigy Money.

ks7_1133 ks7_1228 ks7_1229 ks7_1231

Video Queen wakifanya yao.

ks7_1242 ks7_1245

Wakitoa burudani.

ks7_1267

Gilla The Boss akiongea jambo baada ya kukata keki (haipo pichani).

ks7_1361

Meneja wa Burudani wa Maisha Basement, Hemed Kavu ‘HK’ akilishwa keki na Gilla The Boss.

Mastaa mbalimbali wa Bongo usiku wa kuamkia jana walimiminika kwa wingi katika Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama, Dar es Salaam katika Usiku wa Mastaa uliokwenda sambamba na burudani kadhaa kutoka kwa wasanii wa Hip hop na Bongo Fleva.

Mastaa hao ‘walishow love’ na mashabiki wao waliofika ili kujumuika nao ikiwa ni pamoja na kupata nao selfie kadhaa.

Mastaa waliohudhuria usiku huo ni pamoja na wasanii Christian Bella, Bob Junior, Chid Benz, Pam D, Mesen Selekta,  Country Boy, Galatone, Chemical, Haitham, Solid Ground Family sambamba na video vixen wakiongozwa na Lulu Diva, Gigy Money, Kibonge Sexy, Kidoa, Azama, Jojo pamoja na mastaa wa Bongo Muvi akiwemo Duma na wengine wengi walioupamba vilivyo usiku wa mastaa.