×

Urais Gambia: Aliyekubali Kushindwa, Abadili Uamuzi, Apinga, Ataka Uchaguzi Urudiwe!

 
ghana-2
MSHINDI wa Kiti cha Urais wa Gambia, Adama Barrow amenyimwa kutumia Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo huku Rais Jemmeh Yahya aliyeshindwa uchaguzi huo akipinga matokeo hayo.
 
ghana-1Adama Barrow
Rais Jammeh aliyeshindwa uchaguzi, ametangaza kwenye runinga baada ya uchunguzi wa kina amegundua udanganyifu wa matokeo na kutaka uchaguzi uitwishe upya.
 
Awali bwana Jemmeh alikubali matokeo ya uchaguzi huo na kumpigia simu mshindi ambaye anatoka chama pinzani huku akimpongeza kwa ushindi huo, lakini ghafla amebadili maamuzi yake hayo na kutaka zoezi la kupiga kura liitishwe upya.
halotel-strip-1-1

MZEE WA MIAKA 76 ALEYETANAGAZA KUTAFUTA MKE “FULL EXLUSIVE INTERVIEW”