×

Kada wa CCM Aliyedaiwa Kughushi Kitambulisho cha Usalama wa Taifa Aachiwa Huru

czo0dzaxeaanuxsMiezi kadhaa iliyopita aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘UVCCM’ Arusha, Lengai Ole Sabaya alishtakiwa kwa kosa la kujifanya Ofisa Usalama wa Taifa na kughushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa.
ccm-kadaKesi hiyo imetolewa maaamuzi na mahakama ya hakimu mkazi Arusha leo December 14 2016 ambapo imemuachia huru Lengai Ole Sabaya baada ya upande wa Jamhuri kusema hawana nia ya kuendelea na kesi hiyo.

Darassa Afunguka Tuhuma za Kuiba Beat ya Saida Karoli Kwenye Wimbo Wake wa Muziki