
Tumeanzisha kurasa (Page) za magazeti yetu pendwa katika Facebook na baadaye tutahamia Instagram na Tweeter ili kuongeza wigo wa kuwasiliana moja kwa moja na wasomaji wetu ili kupokea maoni yao na kueleza nini wanataka kiongezwe au kiboreshwe katika magazeti yetu. Pia utapata fursa ya kuchati moja kwa moja na Mhariri Mkuu wa Gazeti husika na Msadizi wake.
Hapa chini tumekuwekea link za Page zote za Magazeti;