









Rais Magufuli akikabidhi kwa Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai ripoti ya mahakama kuhusu kesi za uchaguzi wakati wa uzinduzi wa Mwaka Mpya wa Kimahakama.



SIKU_YA_SHERIA: Nashukuru kwa kuona kazi nzuri zinazofanywa na mahakama hapa nchini – @MagufuliJP
SIKU_YA_SHERIA: Endapo mahakama, wapelelezi na polisi na mawakili nyote mkifanya kazi hivi Tanzania itakuwa na amani sana – @MagufuliJP
SIKU_YA_SHERIA: Mwaka jana mahakimu 28 walishtakiwa kwa makosa mbalimbali mengine yakiwemo ya rushwa lakini wote walishinda – @MagufuliJP 1/3
SIKU_YA _SHERIA: Hii inaweza kuleta picha mbaya, labda upelelezi haukufanyika vizuri, mahakimu waliosimamia kesi hizo walibebana-@MagufuliJP 2/3
SIKU_YA _SHERIA: Watu wazuri wasichafuliwe na wachache, naomba muwasafishe kabisa – @MagufuliJP 3/3
SIKU_YA _SHERIA: Hizo ni baadi tu ya changamoto kwenye sekta ya mahakam ni kwamba watumishi wke ni wachache ukilinganisha na sekta nyingine. @MagufuliJP
SIKU_YA _SHERIA: Kwa nini kuwe na walinzi wa mahakama 1900 wa nini? Kwa nini msitumie polisi na makampuni ya ulinzi? –@MagufuliJP
SIKU_YA _SHERIA: Naibu Jaji Mkuu, nikuhakishie kwamba nafasi ambazo kweli zinahitaji kuongezewa watumishi nitalifanyia kazi –@MagufuliJP 1/2
SIKU_YA _SHERIA: Lakini bafasi ambazo sio za lazima fanyeni mbinu zingine –@MagufuliJP
SIKU_YA _SHERIA: Nchi hii wakwepa kodi ni wengi, na wanaheshimiwa, kiasi cha Sh. Trilioni 7.5 hazijakusanywa @MagufuliJP 1/3
SIKU_YA _SHERIA: Yawezekana tatizo ni la TRA lakini niwaombe watu wa mahakama mtusaidie. –@MagufuliJP 2/2
SIKU_YA _SHERIA: Niwaombe majaji mtende haki ili kufanikisha hilo –@MagufuliJP
SIKU_YA _SHERIA: Kati ya majaji 80 waliosafiri nje mwaka jana, 6 pekee walilipiwa na serikali, 74 walijilipia wenyewe –@MagufuliJP
SIKU_YA _SHERIA: Nani ambaye hafahamu kwamba ofisi za DPP na AG zinagombana zenyewe kwa zenyewe na wapo ofisi moja? –@MagufuliJP 1/2
SIKU_YA _SHERIA: Niwaombe DPP na AG kwa kushirikiana na waziri, tafuteni njia ya kutatua hayo matatizo –@MagufuliJP
SIKU_YA _SHERIA: Mtu anakamata na meno ya tembo au madawa ya kulevya, haitakiwi kesi kuahirishwa ahukumiwe hapo hapo? @MagufuliJP 1/3
SIKU_YA _SHERIA:Anayekuja kumtetea aunganishwe huko huko, awekwe ndani ili akija kuomba rufaa awe ameshaonja joto la jiwe. @MagufuliJP 2/3
SIKU_YA _SHERIA: Kama umemkamata na meno ya tembo unaahirisha eti upelelezi haujakamilika unataka mpaka ukamate na nini. @MagufuliJP 3/3
Save