×

Penny Kuzaa na Mzee!

STORI: Na IMELDA MTEMA| RISASI JUMAMOSI|DAR ES SALAAM

MPENZI wa zamani wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema kutokana na kuwaona vijana hawana ‘future’, amepanga kuzaa na mzee mwenye umri mkubwa.

Mtangazaji Penny.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Penny ambaye ni Mtangazaji wa Radio E-FM, alisema kwa muda mrefu ameshiriki uhusiano na kujifunza kwamba vijana hawana malengo ya baadaye hivyo kamwe hawezi kumzalia kijana.

“Nitazaa na mzee ambaye tayari umri wake umeenda, hana papara na anayejua maisha ni nini. Hawa vijana hawana malengo ya baadaye,” alisema Penny.

 

Kwa stori zote kali, Tu-follow

Facebook @Globalpublishers

Twitter @GlobalHabari

Instagram @GlobalPublishers

YouTube @GlobalTVTZ

Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji la Dar es Salaam

Save