




Bendi za Taarabu za East Afrika Melody na TOT usiku wa kumakua Jumatano ziliwapagawisha mashabiki waliofulika katika ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar kusheherekea sikukukuu ya wapendanao
mbali ya bendi hiyo pia vikundi mbalimbali vilitoa burudani wakiwemo Makirikiri wa Tanzania ambao pia waliwapagawisha mashabiki waliofurika kwa wingi ndani ya ukumbi huo