
WIZARA ya Mali asili na utalii kupitia Kwa Mkurugenzi anayehusika na masuala ya kale, Donatus karuamba amesema kuwa Jamii inapaswa kulinda na kuhifadhi mambo ya kale ili kuhifadhi historia katika Jamii.

Akizungumza na wanahabari leo Jijini Dar es Salaam, Karumba amesema kuwa mambo yanayopaswa kuhifadhiwa na kubakia Kama historia ni Kama vile mapango yaliyopo Bagamoyo, makumbusho ya taifa na Mambo yote yenye kuhifadhi historia.


Denis Mtima/GPL