
MOSHI: Mwili wa marehemu mzee Philemon Ndesamburo umeagwa leo mchana katika Viwanja vya Majengo, vilivyopo Moshi mkoani Kilimanjaro kisha kusafirishwa kwenda nyumbani kwake Mbokomu, Moshi Vijijini ambako atazikwa kesho.
















MOSHI: Mwili wa marehemu mzee Philemon Ndesamburo umeagwa leo mchana katika Viwanja vya Majengo, vilivyopo Moshi mkoani Kilimanjaro kisha kusafirishwa kwenda nyumbani kwake Mbokomu, Moshi Vijijini ambako atazikwa kesho.














