Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salam za rambirambi kwa wanafamilia, wanachama wa CCM, uongozi wa Yanga na wanamichezo wote kufuatia kifo cha Ali Mohamed maarufu kama Ali Yanga aliyefariki ajalini Dodoma jana.

Kwa stori zote kali, Tu-follow
Facebook @Globalpublishers
Twitter @GlobalHabari
Instagram @GlobalPublishers
YouTube @GlobalTVTZ