Usiku wa kuamkia leo Kundi la Mashauzi Classic lilifanya makamuzi pamoja na Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma kwenye Ukumbi wa Nefaland uliopo Manzese jijini Dar.
Kwenye onesho hilo lililoandaliwa na Bonga Promotion, mashabiki wa taarabu na dansi kila mmoja alipata kitu roho yake inapenda. Kwa uhondo zaidi anagalia picha.





PICHA: RICHARD BUKOS / GPL