
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli, leo wameungana na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato, Usharika wa Magomeni Mwembechai kusali katika Ibada ya Sabato.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli, leo wameungana na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato, Usharika wa Magomeni Mwembechai kusali katika Ibada ya Sabato.



