×

Wakongwe Waliosoma Sekondari ya St Joseph Wakutana, Dar

Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo akisalimiana na viongozi wa Shule ya St. Joseph’s.

Wahitimu wa St.Joseph’s wakibadilishana mawazo.
Shigongo na Mkuu wa Shule ya Sekondari, St.Joseph’s, Sister Thiodora (kulia) wakibadilishana mawazo na wanafunzi waliowahi kusoma shuleni hapo.
Baadhi ya wanafunzi waliosoma St.Joseph’S wakicheza mziki.

Keki ikikatwa.

SHULE ya Sekondari St. Joseph ya jijini Dar es Salaam leo Septemba 23, 2017 imewakutanisha wanafunzi waliowahi kuosoma na kuhitimu kwenye shule hiyo na marafiki wengine katika kujenga umoja na mshikamano wa mawazo mbalimbali.

Hafla hiyo ya St. Joseph’s Alumni Day imefanika katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar na kuhudhuriwa na wasomi wengi waliowahi kusoma shule hiyo.

Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo akiwa ni miongoni mwa waalikwa wa hafla hiyo, amehidhuria na kupata fursa ya kubadilishana mawazo na wanafunzi hao huku akiwapa mbinu tofauti za kukabiliana na changamoto za maisha ikiwa ni pamoja na mbinu za kufanikiwa katika ujasiriamali.

PICHA NA DENIS MTIMA | GPL

VIDEO YA TUKIO HILO

Leave a Comment