
Habari ziliyonifikia kutoka Arusha usiku huu ni kuwa moto umezuka na kuteketeza nyumba za Polisi zilizopo Kata ya Sekei, Arusha, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.

Habari ziliyonifikia kutoka Arusha usiku huu ni kuwa moto umezuka na kuteketeza nyumba za Polisi zilizopo Kata ya Sekei, Arusha, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.