×

Breaking News: Rais Magufuli Amteua Janeth Masaburi Kuwa Mbunge

Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bi.Janeth Masaburi kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Janeth Massaburi (kulia), akisisitiza jambo.

Leave a Comment