Mkongwe wa burudani Bongo, Spark leo mchana ameachia video ya ngoma yake mpya ya Nachechemea akimshirikisha msanii chipukizi, Badria.
Mkongwe wa burudani Bongo, Spark leo mchana ameachia video ya ngoma yake mpya ya Nachechemea akimshirikisha msanii chipukizi, Badria.