×

WAZIRI MWAKYEMBE AZINDUA KITUO CHA KUUZA KAZI ZA WASANII

Mwakyembe akiwa katika hafla hiyo.
Kituo cha Barazani alichokizindua Mwakyembe.
Jaqueline Wolper alikuwa miongoni mwa wasanii waliohudhuria hafla hiyo.
Baadhi ya wasanii mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo.
Wasanii waliohudhuria.

WAZIRI wa habari, Utamaduni sanaa na michezo, Dkt.Harison Mwakyembe amezindua kituo cha wasanii kitakachokuwa kikisambaza na kusimamia kazi za wasanii kiitwacho Barazani.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Mwakyembe amesema kuwa lengo kubwa la kituo hicho litakuwa kusaidia wasanii kusambaza kazi zao kwa faida na kwa uwazi kupitia teknolojia ya mitandao.

VIDEO: MSIKIE STEVE NYERERE AKIFUNGUKA

Leave a Comment