

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo amewatembelea watoto wawili Mapacha walioungana Maria na Consolata ambao wamelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya Matibabu.


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo amewatembelea watoto wawili Mapacha walioungana Maria na Consolata ambao wamelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya Matibabu.