×

Naibu Katibu Mkuu wa BAVICHA Ajiuzuru

Naibu Katibu Mkuu Baraza la Vijana Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema (BAVICHA), Getrude Ndibalema amesema amejiuzuru nafasi hiyo na kubaki mwanachama wa kawaida ili kutimiza majukumu binafsi.

Usiku wa Vikings Waibua Mazito Wema, Aunt, Wolper!